Venus Williams
Mcheza
tennis wa Marekani Venus Williams anaelekea kupambana na mdogo wake
Serena Williams katika fainali za Miami Open baada...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Tuesday, 31 March 2015
Riadha Tanzania warejea mbio za Nyika
wanariadha wakiwa mbioni
Timu
ya taifa ya riadha ya Tanzania imerejea nyumbani Tanzania baada ya
kumalizika kwa michuano ya mbio za Nyika za Dunia iliyofanyika...
MABEKI WAIPA USHINDI URENO, RONALDO KIMYA, GERMANY YASHINDA!
Portugal wamekwea kilele cha Kundi I la EURO 2016 baada ya kuichapa Serbia 2-1:hapo Jana.
Bao za Portugal zilifungwa kila Kipindi na Mabeki wao Ricardo
Carvalho na Fabio Coentrao huku mashine yao ya Magolj Cristiano Ronaldo
akiwa kimya.
Bao la Serbia lilifungwa...
KIRAFIKI JUMANNE - ITALY v ENGLAND, NETHERLANDS v SPAIN!
1900 Switzerland v USA
2145 Italy v England
2145 Netherlands v Spain
2245 Portugal v Cape Verde
England wanasaka ushindi wao wa 8 mfululizo huko Turin ambako watacheza Mechi ya Kirafiki na wenyeji wao Italy.
Ijumaa, England iliichapa Lithuania 4-0 kwenye...
HAWA NDIO WATOTO WA MARAISI WA AFRIKA WAREMBO KULIKO WOTE
Diana Karuguire Museven
Hizi ni baadhi ya mabinti wa marais wa Afrika ambao wanatikisa sana katika mitandao mbalimbalikutokana na sifa zao tofauti
AngePaul Kagame
Ni
binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa mwaka 1989. Kwenye
mitandao amekuwa akisifiwa...
STERLING AIZUNGUSHA ANFIELD KUSAINI MKATABA MPYA,
Raheem Sterling amelaumiwa na Veterani wa Liverpool Jason McAteer kwa kuzungusha kukubali Mkataba mpya na Liverpool.
Huku kukiwa na habari nzito kuwa Chipukizi huyo moto mwenye Miaka 20
anaechezea pia England yuko mbioni kwenda Spain kujiunga na Barcelona au
Real Madrid,...
Hatima ya Ngassa bado haijajulikana Yanga
Yanga imetamka kuwa haina lengo la moja kwa
moja kuachana na mshambuliaji wao Mrisho
Ngassa na katika kuthibitisha hilo kwa vitendo,
tayari uongozi wa klabu hiyo umeweka mezani
Sh. 80 Milioni wakimtaka asaini dili jipya...
Tenga: CAF, CECAFA zinamuunga mkono Blatter urais FIFA
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Baraza la Vyama vya Soka
Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) yameungana na Shirikisho la Soka
Afrika (CAF) kumpigia upatu Rais wa FIFA, Sepp Blatter katika uchaguzi
mkuu ujao wa shirikisho hilo...
Wanajangwani waenda kuipa nguvu Yanga dhidi ya Platinum
Mashabiki na wapenzi wa klabu ya
Dar es Salaam Young Africans, ambao ndio wawakirishi pekee wa Tanzania
katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Africa, leo asubuhi
wameondoka nchini na kuelekea Zimbabwe kuishangilia timu...
Soma kujua KICHOPO mtibwA Sukari !Bila kumpa pesa Mexime hupewi nafasi ya kucheza
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,
Mchezaji ambaye amecheza timu ya
Taifa wa miaka 12 mfululizo huku akichezea klabu moja tu maishani na
kubeba majukumu ya unahodha klabuni na timu ya Taifa anaweza kushindwa
kuwa kocha ...
Mwendesha mashitaka auawa Uganda
Askari akikagua gari ambalo lilikuwa likiendeshwa na Joan Kagezi
...
HOT NEWS Mpinzani Buhari aongoza katika matokeo ya awali Nigeria
Jenerali Muhammadu Buhari anaongoza kwa zaidi ya
kura milioni mbili zaidi ya mpinzani wake wa karibu ambaye ni rais
Goodluck Jonathan
Matokeo...
Sunday, 29 March 2015
Mbeya City FC wapania kuzifunga Yanga SC, Azam FC
Kiungo mshambuliaji wa City, Peter Samson Mwalyanzi, amesema
hesabu zilizopo kwenye kikosi chao hivi sasa ni kushinda michezo yote
mitatu ijayo watacheza ugenini...
30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
Msafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka
jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano
ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.
Mkuu wa Idara ya Habari...
Samatta aibeba Stars ikitoka sare na Malawi 1-1
Timu
ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo imegawana pointi na timu ya
Malawi baada ya sare ya bao 1-1 kwenye mchezo ambao umepigwa kunako
Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Bao la Stars limefungwa na Mbwana...
BRAZIL YA DUNGA YAENDELEA KUDUNGA WATU, SANCHEZ NA CHILE CHALI EMIRATES!
Brazil,
chini ya Kocha Dunga, Leo tena imeendeleza wimbi la ushindi tangu Kocha
huyu ashike Timu Mwaka Jana kwa kuitungua Chile 1-0 Uwanjani Emirates
Jijini London katika Mechi ya Kirafiki.
Brazil, ikiongozwa na Neymar, na Chile, ikiongozwa na Mchezaji wa
Arsenal aliekuwa...
Angalia mwandishi wa habari Alejandra Omaña Ruiz akaa utupu baada ya…

Alejandra Omaña
Ruiz
‘Las promesas no se ha roto en Colombia, evidentemente’ Ndivyo
unavyoweza kusema baada ya mwanadada mmoja mwandishi wa habari kutoa ahadi ya
kukaa utupu na kuitimiza wiki hii baada ya timu anayoishabikia kupanda daraja.
Huyu...
Arsenal wapanga kumnunua Wanyama na Mitrovic msimu ujao 2015/2016
Kiungo wa kati wa Southampton Mugubi Wanyama
Kocha
wa Arsenal Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa
Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht
Aleksandr Mitrovic kulingana...
Mechi ya Urusi na Montenegro yatibuka
Mechi ya kufuzu ya kuwania kombe la taifa bingwa barani Ulaya kati ya
urusi na Montenegro ilisitishwa baada ya wachezaji kutoka timu zote
kupigana uwanjani.
Awali mechi hiyo ilikuwa imesitishwa kwa dakika
30 baada ya mlinda lango wa Urusi kugongwa na kifaa na kisha kupelekwa...
Matatizo ya yameibuka yaathiri uchaguzi
Raia wengi wa Nigeria wamechelewa kupiga kura ya kumchagua rais wa taifa hilo.
Mwandishi
wa BBC nchini Nigeria anasema kuwa matatizo yameibuka kwenye vifaa vya
mkononi ambavyo...
Mungu wangu kumbe rubani aliyedondosha ndege Rubani Lubitz aliipata majinamizi
Mchumba
wa zamani wa rubani aliyedondosha ndege kusudi katika milima ya
Ufaransa ya Alps, ananukuliwa na gazeti moja la Ujerumani akisema kuwa
Andreas Lubitz alikuwa akipanga njama kubwa.
Mwanamke huyo, muandalizi katika ndege, ambaye alikutana na rubani...
Friday, 27 March 2015
TFF YAIPIGA faini Simba, Yanga, NA Azam, Mrwanda, Niyonzima, Sure Boy Wagongwa Nyundo,
Kikao
cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania
kilichoketi jumanne ya tarehe 24, Machi 2015 jijini Dar es salaam,
kimepitia taarifa mbalimbali...