MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Tuesday, 31 March 2015

Ndugu kuvaana fainali za Tennis,Marekani

Venus Williams Mcheza tennis wa Marekani Venus Williams anaelekea kupambana na mdogo wake Serena Williams katika fainali za Miami Open baada...

Riadha Tanzania warejea mbio za Nyika

wanariadha wakiwa mbioni Timu ya taifa ya riadha ya Tanzania imerejea nyumbani Tanzania baada ya kumalizika kwa michuano ya mbio za Nyika za Dunia iliyofanyika...

MABEKI WAIPA USHINDI URENO, RONALDO KIMYA, GERMANY YASHINDA!

Portugal wamekwea kilele cha Kundi I la EURO 2016 baada ya kuichapa Serbia 2-1:hapo Jana. Bao za Portugal zilifungwa kila Kipindi na Mabeki wao Ricardo Carvalho na Fabio Coentrao huku mashine yao ya Magolj Cristiano Ronaldo akiwa kimya. Bao la Serbia lilifungwa...

KIRAFIKI JUMANNE - ITALY v ENGLAND, NETHERLANDS v SPAIN!

1900 Switzerland v USA 2145 Italy v England 2145 Netherlands v Spain 2245 Portugal v Cape Verde  England wanasaka ushindi wao wa 8 mfululizo huko Turin ambako watacheza Mechi ya Kirafiki na wenyeji wao Italy. Ijumaa, England iliichapa Lithuania 4-0 kwenye...

HAWA NDIO WATOTO WA MARAISI WA AFRIKA WAREMBO KULIKO WOTE

Diana Karuguire Museven Hizi ni baadhi ya mabinti wa marais wa Afrika ambao wanatikisa sana katika mitandao mbalimbalikutokana na sifa zao tofauti AngePaul Kagame Ni binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa mwaka 1989. Kwenye mitandao amekuwa akisifiwa...

STERLING AIZUNGUSHA ANFIELD KUSAINI MKATABA MPYA,

Raheem Sterling amelaumiwa na Veterani wa Liverpool Jason McAteer kwa kuzungusha kukubali Mkataba mpya na Liverpool. Huku kukiwa na habari nzito kuwa Chipukizi huyo moto mwenye Miaka 20 anaechezea pia England yuko mbioni kwenda Spain kujiunga na Barcelona au Real Madrid,...

Hatima ya Ngassa bado haijajulikana Yanga

  Yanga imetamka kuwa haina lengo la moja kwa moja kuachana na mshambuliaji wao Mrisho Ngassa na katika kuthibitisha hilo kwa vitendo, tayari uongozi wa klabu hiyo umeweka mezani Sh. 80 Milioni wakimtaka asaini dili jipya...

Tenga: CAF, CECAFA zinamuunga mkono Blatter urais FIFA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) yameungana na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kumpigia upatu Rais wa FIFA, Sepp Blatter katika uchaguzi mkuu ujao wa shirikisho hilo...

Wanajangwani waenda kuipa nguvu Yanga dhidi ya Platinum

Mashabiki na wapenzi wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans, ambao ndio wawakirishi pekee wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Africa, leo asubuhi wameondoka nchini na kuelekea Zimbabwe kuishangilia timu...

Soma kujua KICHOPO mtibwA Sukari !Bila kumpa pesa Mexime hupewi nafasi ya kucheza

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam, Mchezaji ambaye amecheza timu ya Taifa wa miaka 12 mfululizo huku akichezea klabu moja tu maishani na kubeba majukumu ya unahodha klabuni na timu ya Taifa anaweza kushindwa kuwa kocha ...

Mwendesha mashitaka auawa Uganda

  Askari akikagua gari ambalo lilikuwa likiendeshwa na Joan Kagezi ...

HOT NEWS Mpinzani Buhari aongoza katika matokeo ya awali Nigeria

Jenerali Muhammadu Buhari anaongoza kwa zaidi ya kura milioni mbili zaidi ya mpinzani wake wa karibu ambaye ni rais Goodluck Jonathan Matokeo...

Sunday, 29 March 2015

Mbeya City FC wapania kuzifunga Yanga SC, Azam FC

  Kiungo mshambuliaji wa City, Peter Samson Mwalyanzi, amesema hesabu zilizopo kwenye kikosi chao hivi sasa ni kushinda michezo yote mitatu ijayo watacheza ugenini...

30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano

Msafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa. Mkuu wa Idara ya Habari...

Samatta aibeba Stars ikitoka sare na Malawi 1-1

  Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo imegawana pointi na timu ya Malawi baada ya sare ya bao 1-1 kwenye mchezo ambao umepigwa kunako Uwanja wa  CCM Kirumba Jijini Mwanza. Bao la Stars limefungwa na Mbwana...

BRAZIL YA DUNGA YAENDELEA KUDUNGA WATU, SANCHEZ NA CHILE CHALI EMIRATES!

Brazil, chini ya Kocha Dunga, Leo tena imeendeleza wimbi la ushindi tangu Kocha huyu ashike Timu Mwaka Jana kwa kuitungua Chile 1-0 Uwanjani Emirates Jijini London katika Mechi ya Kirafiki. Brazil, ikiongozwa na Neymar, na Chile, ikiongozwa na Mchezaji wa Arsenal aliekuwa...

Angalia mwandishi wa habari Alejandra Omaña Ruiz akaa utupu baada ya…

Alejandra Omaña Ruiz ‘Las promesas no se ha roto en Colombia, evidentemente’ Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwanadada mmoja mwandishi wa habari kutoa ahadi ya kukaa utupu na kuitimiza wiki hii baada ya timu anayoishabikia kupanda daraja.  Huyu...

Arsenal wapanga kumnunua Wanyama na Mitrovic msimu ujao 2015/2016

    Kiungo wa kati wa Southampton Mugubi Wanyama Kocha wa Arsenal Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic kulingana...

Mechi ya Urusi na Montenegro yatibuka

Mechi ya kufuzu ya kuwania kombe la taifa bingwa barani Ulaya kati ya urusi na Montenegro ilisitishwa baada ya wachezaji kutoka timu zote kupigana uwanjani. Awali mechi hiyo ilikuwa imesitishwa kwa dakika 30 baada ya mlinda lango wa Urusi kugongwa na kifaa na kisha kupelekwa...

Matatizo ya yameibuka yaathiri uchaguzi

  Raia wengi wa Nigeria wamechelewa kupiga kura ya kumchagua rais wa taifa hilo. Mwandishi wa BBC nchini Nigeria anasema kuwa matatizo yameibuka kwenye vifaa vya mkononi ambavyo...

Mungu wangu kumbe rubani aliyedondosha ndege Rubani Lubitz aliipata majinamizi

Mchumba wa zamani wa rubani aliyedondosha ndege kusudi katika milima ya Ufaransa ya Alps, ananukuliwa na gazeti moja la Ujerumani akisema kuwa Andreas Lubitz alikuwa akipanga njama kubwa. Mwanamke huyo, muandalizi katika ndege, ambaye alikutana na rubani...

Friday, 27 March 2015

TFF YAIPIGA faini Simba, Yanga, NA Azam, Mrwanda, Niyonzima, Sure Boy Wagongwa Nyundo,

Kikao cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania  kilichoketi jumanne ya tarehe 24, Machi 2015 jijini Dar es salaam, kimepitia taarifa mbalimbali...