MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Tuesday, 30 September 2014

WAIBA JENEZA MSIKITINI NA KULIPELEKA KWA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawasaka watu wasiofahamika wanaotuhumiwa kuingia msikitini na kuiba jeneza, Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma. Baada ya kuiba jeneza hilo, watu hao wanadaiwa kwenda nyumbani kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kitanda, wilayani humo, Fidea...

WAZIRI MKUU ACHAPWA VIBOKO HADHARANI

Hali ya taharuki iliibuka katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kwenda ukumbini na kuanza kutandika bakora kiongozi wa upinzani Raila Odinga pamoja na wanasiasa wengine. Raila alikuwa amejiunga na kikundi cha wanawake waliokuwa...

UEFA CHAMPIONZ LIGI: BAYERN YASHINDA UGENINI! ANGLIA RATIBA NA MATOKEO

  MATOKEO: Jumanne Septemba 30 KUNDI E CSKA Moscow 0 Bayern Munich 1 Man City VS Roma KUNDI F APOEL Nicosia VS Ajax Paris St-Germain VS Barcelona KUNDI G FC Schalke 04 VS NK Maribor Sporting Lisbon VS Chelsea KUNDI H BATE Borisovs VS Athletic Bilbao Shakhtar...

MAKOCHA WA AFRIKA WAICHAMBUA BRAZIL 2014

FIFA na CAF imewaalika Makocha wa Timu za Taifa za Afrika kuhudhuria Kongamano la Siku mbili unaoanza hii Leo huko Cairo, Misri kuzichambua Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 zilizochezwa huko Nchini Brazil Mwezi Juni na Julai Mwaka huu. Kongamano la aina hii pia...

HII NDIYO LISTI YA MAJERUHI MAN UNITED YAONGEZEKA, HERRERA NJE WIKI 3 BAADA KUVUNJIKA MBAVU

KIUNGO wa Manchester United Ander Herrera atakuwa nje kwa Wiki 3 baada kuvunjika mfupa wa mbavuni. Herrera, ambae alijiunga na Man United mwanzoni mwa Msimu huu akitokea Athletic Bilbao na kuifungia Bao 2 katika Mechi 4 za Ligi Kuu England, anaungana na Listi ndefu...

NOOIJ WA STARS AITA 26 WA KUIVAA BENIN YANGA YAVUNJA REKODI KATIKA KIKOSI

Na Boniface Wambura, DAR ES SALAAMKOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mholanzi Mart Nooij ameteua wachezaji 26 kwa ajili mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) dhidi ya Benin itakayochezwa Oktoba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam.Kocha...

BAADA YA MATOKEO YA SIMBA KUA HABA PHIRI AHAMISHIA KAMBI DAR

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema ulikuwa ni wakati mwafaka wa kuhamishia kambi jijini Dar.Simba imehamishia kambi yake Changanyikeni jijini Dar na leo jioni imefanya mazoezini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Phiri amesema kwa muda waliokaa Zanzibar unatosha pia ni...

BODI YA LIGI YATOA KAULI YAKE KUHUSU TFF KUCHUKUWA FEDHA ZA KLABU

MWAKIBINGA (KUSHOTO) AKIWA NA BOSI MKUBWA WA AZAM TV, RHYS TORINGTON AMBAO NI KATI YA WADHAMINI WA LIGI KUU BARA. Bodi ya Ligi Tanzania imetoa msimamo wake kuhusiana na lile sakata la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka lipewe fedha za udhamini za klabu kwa ajili...

SIMBA SC YAUNDA SEKRETARIETI MPYA KUWA NA MAJUKUMU YA KITAWALA

KLABU ya Simba SC imetangaza Sekretarieti yake mpya ambayo itakuwa na majukumu ya kiutawala na kuratibu shughuli zote za uendeshaji wa klabu.Taarifa iliyotolewa na Rais wa Simba SC, Evans Aveva imesems kwamba Sekretarieti hiyo itakuwa ikifanya kazi zake chini ya kamati ya...

MKOSI WAIKUMBA MAN UNITED BAADA YA ANER HERRERA ACHANIKA MBAVU,

Ander Herrera anatarajiwa kuwa nje kwa wiki kadhaa baada ya kuchanika mbavu akiichezea Manchester United dhidi ya West Ham Jumamosi. Kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania alimpisha Antonio Valencia baada ya kuumia katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Old Trafford. Taarifa...

Monday, 29 September 2014

DIDIER KAVUMBAGU KUTAMBA KUHUSU UFUNGAJI BORA LIGI KUU YA TANZANZNIA BARA

  Mshambuliaji wa kimataifa wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu, ametamba kuwa sasa atahakikisha anafunga kila mechi ili kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi na hatimaye kutwaa ubingwa. Kavumbagu ameianza Ligi Kuu Bara kwa mkwara baada ya kufunga mabao manne katika...

TIMU YA MBEYA CITY KUFUNGUA MADUKA YA JEZI,NA VIFAA VYA MICHEZO NDANI YA DAR

Uongozi wa Mbeya City ya jijini Mbeya, umefunguka kuwa upo katika mchakato wa kusambaza upya jezi zake baada ya kuachana na zile za zamani kwa kufungua maduka mawili jijini Dar. Mbeya City ina mpango wa kubadili jezi zake za awali kutokana na kutaka kuweka nembo ya mdhamini...

KIBOKO AVAMIA KIJIJI WANANCHI WASHINDA JUU YA MITI KUTWA

  Baadhi ya wakazi wa Kitongoji cha Kashalami Kata ya Mashimboni  wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wamelazimika kushinda juu ya miti kwa kuhofia kushambuliwa na Kiboko  aliyevamia kijiji hicho  na kuhatarisha uhai wa Wanachi  Kwa...

HUYU NDIYO MTANZANIA ALITESWA DUBAI, AKI SAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

  Mwanaisha Athuman Pinde(36) , mzaliwa wa mkoa wa Morogoro, Novemba 25, 1978 kama pasi yake ya kusafiria inavyoonyesha. USALAMA  wa watanzania wanaopelekwa nchini Dubai  falme za kiarabu kujaribu fursa za ajira upo...