Monday 28 December 2015

Wachimbaji Kadhaa Wafunikwa Na Kifusi Chunya, Mkoani Mbeye Leo

 


Wachimbaji kadhaa wamefukiwa na kifusi katika kijiji cha Sangambi wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuokoa uhai wao zinaendelea muda huu.

Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.

0 comments: