Monday 28 December 2015

HUYU NDIYO MFANYAKAZI WA ZANTEL ALIYE UAWA KWA KUPIGWA RISASI


---> Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafael ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi.
Tukio hilo limetokea jana saa 4:45 asubuhi eneo la ofisi za kampuni ya Nabaki Afrika, iliyopo Mwenge, mita chache karibu na kampuni ya Coca-Cola.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema haikujulikana mapema meneja huyo alikuwa akitokea wapi na gari lake aina ya Toyota Double Cabin

Aliyekuwa Meneja wa operesheni wa kampuni ya
Aliye kuwa Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafae wakati wa uhai wake

0 comments: