SUBIRA ya maisha bora kwa kila
mtazania imeanza kuleta majanga mkoani Iringa baada ya kikongwe
mmoja kutoka jimbo la Kilolo linaloongozwa na mbunge wake Prof Peter
Msolla kuamua kujitanguliza kuzimu kwa kile alichodai ni ugumu wa
maisha .
Kikongwe huyo mkazi wa
kijiji cha Matumbuka kata ya Ilole tarafa ya Mazombe
wilaya ya Kilolo Bw Gaudence Mtete (84) alikutwa akiwa amejinyonga
ndani ya nyumba yake kwa kutumia kamba ya Chandarua
kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni ugumu wa maisha













0 comments:
Post a Comment