Kiongozi
wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa
masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea,
kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan
Masingisa ambaye ni mzazi.
Baadhi
ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya
St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao
kupigwa shoka na mlinzi wa shule hiyo.(Picha na Eliphace Marwa -
Maelezo).














0 comments:
Post a Comment