Wednesday, 5 February 2014

TAKWIMU ZA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI MKOANI IRINGA


 
SARATANI_eef88.jpg
Na Martha Magessa
Hii ni taarifa ya huduma ya kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake kuanzia mwaka 2012 walivyoanza kutoa huduma hiyo hadi 2013 katika vituo viwili ikiwemo  hospitali ya mkoa wa Iringa na kituo cha Ipogolo ni vituo vilivyo tengwa kutoa huduma ya upimaji wa kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake mkoani humo.

0 comments: