HOME »
» COASTAL UNION YAANZA VIZURI KATIKA MECHI YA KIRAFIKI KWA USHINDI WA 2-0
Coastal Union (wenye jezi nyekundu)
wameanza ziara yao ya Oman Jana kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji
Musannaa. Coastal ipo huko kwa ziara ya kujiandaa na mzunguko wa pili
wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
0 comments:
Post a Comment