Tuesday, 8 March 2016

Ajali Mbaya Yatokea Asubuhi ya leo..Daladala Lagongana na Lori la Kubebea Ng'ombe Eneo la Tabata Matumbi

 

AJALI DAR: Daladala (DCM) lagongana na Lori la kubebea Ng'ombe eneo la Tabata Matumbi na kusababisha vifo na majeruhi (idadi bado). Barabara za kutoka na kwenda Buguruni zimefungwa

Related Posts:

0 comments: