- Bofya hapa kupakua nakala ya tangazo hilo lenye nafasi za kazi zilizoorodheshwa.
Serikali kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza jumla ya nafasi wazi za kazi 517 kwa ajili ya waajiri mbalimbali nchini.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi amewataka waombaji wote wa fursa za ajira serikalini kuzingatia masharti ya tangazo, ikiwa ni pamoja na kuambatisha vielelezo muhimu kabla ya kutuma barua ya maombi. Aidha, amesema nafasi hizo za kazi zimewekwa katika tovuti Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz. Ambapo ali bainisha kuwa ya mwisho wa kupokea barua za maombi ya kazi ni tarehe 03 Machi, 2014.
Daudi amesema nafasi zilizotangazwa kuwa ni nafasi ya Afisa lishe, Msaidizi lishe, Mlezi wa watoto msaidizi, Afisa ustawi wa jamii, Msaidizi ustawi wa jamii, Mhudumu wa jikoni/mess, Afisa misitu, Msaidizi misitu,












0 comments:
Post a Comment