MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Thursday, 24 March 2016

Juan Mata asema haya kuhusu Zlatan Ibrahimovic kujiunga Man United

March 23 headlines za nahodha wa timu ya taifa ya Sweden anayeichezea klabu yaParis Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, jina lake limerudi kwenye headlines baada ya kiungo wa kimataifa wa Hispania anayeichezea klabu ya Man...

Waziri Atoa Siku Moja Manispaa Kujieleza kwa taarifa ya mchanganuo wa fedha ( vinginevyo litakuwa jibu)

 Manispaa ya Kigoma Ujiji katika Mkoa wa Kigoma imepewa masaa 24 kupeleka taarifa ya mchanganuo wa fedha iliyopokea kutoka Tamisemi katika bajeti ya mwaka 2014/2015 kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi ili kuhakiki matumizi. Agizo hilo limetolewa na...

Uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji La Dar es Salaam Kufanyika Baada ya Sikukuu ya Pasaka

Baada ya kumpata Meya wa Jiji la Dar es Salaam, mchakato wa kumchagua naibu meya umeanza. Juzi, Diwani wa Kata ya Vijibweni (Chadema), Isaya Mwita alichaguliwa kuwa umeya akimshinda mpinzani wake Yusuph Yenga (CCM) kwa kura 84 dhidi ya 67. Akizungumza jana, Meya...

Mwenyekiti wa Kijiji Auawa na Kuchomwa Moto

Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Makibo Wilayani Sikonge Mkoani Tabora, Petro Ntakulo,  ameuawa kwa kuchomwa na moto na kundi la watu wasiojulikana kisha kutokomea kusikojulikana.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Hamis Issah alisema tukio hilo limetokea...

Hukumu ya Mbunge wa ubungo Saed Kubenea kutolewa April 13 2014

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda inayomkabili Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, Aprili 13, mwaka huu. Hukumu hiyo itatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas...

Walinzi Watatu wa Suma JKT Mbaroni Kwa Wizi wa Kompyuta 50 Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM )

Walinzi watatu wa Suma JKT na askari mmoja wa Kituo  Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dodoma, wametiwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa kompyuta zinazokadiriwa kufikia 50 mali ya Chuo Kikuu Dodoma (Udom). Chanzo chetu cha habari kilieleza kuwa wizi huo ulitokea juzi baada...

Wednesday, 23 March 2016

Kiti cha UPDP chayeyuka Zanzibar....ZEC Yasema Yalifanyika Makosa ya Kiufundi Wakati wa Kujaza Karatasi ya Matokeo

Ofisa mdhamini wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Ali Mohammed Dadi amesema mshindi wa uwakilishi katika Jimbo la Ziwani ni Suleiman Ali wa CCM na si Asaa Hamad wa UPDP aliyetangazwa awali. Dadi kutoka ofisi ndogo ya Pemba alisema jana kuwa msimamizi...

RC Kijuu: Watumishi HEWA Anzeni Kujiondoa Kabla Sijawakamua Majipu

  Mkuu  mpya  wa  Mkoa  wa  Kagera,Meja  Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu amewaagiza  watumishi  wasio  na  sifa za  kuajiriwa kujiondoa  kabla  ya March  31  mwaka  huu. Kijuu ...

Maalim Seif: CUF haitashiriki uchaguzi wowote chini ya Tume ya Jecha Salim Jecha

SIKU mbili tangu kufanyika kwa uchaguzi wa marudio Zanzibar, na siku moja kabla ya kuapishwa Dk Ali Mohamed Shein, Maalim Seif Shariff Hamad, Mgombea wa Urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka jana kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amesema CUF haitashiriki...

CCM na CUF Watwangana Ngumi Pemba Wakati Wakisherehekea Ushindi wa Dr. Shein

Jeshi la Polisi jana walitumia mabomu ya machozi kurejesha hali ya amani baada ya wananchi kuanza kupigana kwa sababu za kisiasa wakati wakisherehekea ushindi wa Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, katika kijiji cha Mjini Wingwi Wilaya ya Micheweni, Pemba. Mwenyekiti...

Maamuzi mengine leo kutoka kwa Waziri wa Magufuli

March 23 2016 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekutana na Baraza la Wazee wa Dar es salaam na kusikiliza changamoto zinazowakabili katika jamii. Katika kutatua changamoto zinazowakabili wazee, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...

Tuesday, 22 March 2016

FIFA kuchunguza Beckenbauer, 5 wengine

Image copyrightAPImage captionBeckenbauer na wengine 5 kuchungwa na FIFA Aliyekuwa Nahodha na kisha kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani iliyotwaa kombe la dunia Franz Beckenbauer ametajwa katika orodha ya watuhumiwa 6 wanaoshukiwa kutoa hongo kununua kombe la dunia la mwaka...