MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Wednesday, 30 October 2013

SIMBA, KAGERA SUGAR KUKUTANA LEO ALHAMISI

>> PAMBANO LA SIMBA, AZAM LAINGIZA MIL 64/- PATA ZAIDI: Release No. 186 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Oktoba 29, 2013 PAMBANO LA SIMBA, AZAM LAINGIZA MIL 64/- Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Azam lililochezwa jana (Oktoba 28 mwaka huu)...

WANAFUNZI WA UDOM SKULI YA TIBA WAJAFUNGUA CHUO NA HAJUI NILI WATAFUNGUA ?

Nukuu ya kilichoandikwa: Wanafunzi wa UDom College of Health Sciences, School of Medicine ambao wako clinical years (mwaka wa nne na mwaka wa tano) hawajafungua chuo bado na hawajui ni lini watafungua.Hata hivyo wanafunzi wanalalamika kua hata upatikanaji wa waalimu imekua ni shida hivyo kufanya mafunzo yao kwa vitendo kua magumu sana hasa...

MTOTO ALIYEBAKWA NA BABA YAKE AOMBA ASAIDIWE APATE HAKI YAKE

Mtoto aliyefanyiwa ukatili kwa kubakwa na kulawitiwa na baba yake mzazi huko kijijini Kiria katika kata ya Mamba Kusini wilaya ya Moshi Vijijini ameomba msaada wa wanaharakati, wanasheria na taasisi huska ili apatiwe haki yake.Mtoto huyo ambaye kwa sasa analelewa na msamaria mwema, amesema kamwe hatakaa asahau mateso aliyoyapata na  angependa ...

ANGALIA UHALIBIFU ULIFANYWA NA MASHABIKI SOKA WA MBEYA CITY

Picha zilizopachikwa hapo juu   zinaonesha uharibifu ulioripotiwa kufanywa na washabiki wa timu ya soka ya Mbeya City punde tu baada ya kumalizika kwa mchezo baina ya timu hiyo na ile ya Prisons (ya Mbeya pia) wa ligi kuu ya...

HII NDIYO RIPORT :YA MAHAKAMA YA RUFAA ILIVYO SIKILIZA MAOMBI YA "BABU SEYA" NA "PAPI KOCHA"

Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na mwanawe Johnson Nguza 'Papii Kocha' wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza maombi yao ya kuitaka mahakama hiyo kupitia hukumu iliyoitoa mwaka 2010....

RAIA WA CONGO DRC WAKIMBILIA NCHINI UGANDA

  Wakimbizi wa DRC wengi wana kimbilia usalama wao nchini Uganda Melfu ya wakimbizi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wameingia nchini Uganda, huku majeshi ya serikali ya DRC yakipambana vikali na waasi wa M23. Makabiliano makali kati...

TANZANIA YASEMA INAWEZA KUJITOA KATIKA UMOJA WA AFRIKA MASHARIKI

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete Serikali ya Tanzania imesema inatafakari ushiriki wake ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na inaweza kujitoa ndani ya Jumuiya hiyo iwapo itaendelea kutengwa katika baadhi ya vikao. Aidha imesema Tanzania haitambui vikao vinavyofanywa...

POLE SANA JUMA KASEJA KWA MAJANGA.

Aliyekuwa Kipa Namba moja na Nahodha wa Kikosi cha Taifa Stars Juma Kaseja amepata majanga mengine baada ya Kuachwa na Taifa Stars baada ya KochaKim Poulsen kutangaza Kikosi cha Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars)huku Juma Kaseja akiwa hayupo katika Orodha ya Taifa Stars...

WASANII WA BONGO MOVIE WAPONDWA KUJIPODOA MISIBANI

Msanii katika Kiwanda cha Filamu Nchini Tanzania Baturi amefunguka na kutoa ya moyoni kwa Wasanii na Raia wengine ambao kazi yao ni kujiremba na kujipodoa Pindi waendapo katika Misaba,kwani amefananisha hali hiyo ni sawa na Kwenda kuuza Sura wakati wenzako wapo katika...

HII NDIO ADHABU WALIOPEWA WANAJESHI WALIO IBA VITU WESTGATE WAKATI WANAPAMBANA NA MAGAIDI.

  Wanajeshi wawili nchini Kenya wamefutwa kazi na kufungwa jela kwa kitendo cha kupora mali wakati wa shambulizi la kigaidi kwenye Jengo la Westgate mwezi jana.  Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi la Kenya, Julius Karangi. Karangi amesema kuwa mwanajeshi wa tatu...

MWANAFUNZI ALIYE BAKWA NA KUPATA MIMBA AOMBA KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE

Vitendo vya ubakaji vimeendelea kuumiza akili za wapigania haki na ustawi wa wanawake nchini Tanzania kwa muda mrefu sasa. Miongoni mwa kesi hizi zimehusisha wasichana wadogo wenye malengo makubwa katika maisha yao, lakini kutokana na mfumo...

MTUHUMIWA SUGU AKAMATWA NA SIRAHA ZA KIVITA 45 ZA KIENYEJI 17 NA RISASI 892

  Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu Salum Msangi amesema operesheni maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu ya kukabiliana na vitendo vya ujambazi, ujangili wa uwindaji haramu pamoja na wahamiaji haramu imefanikisha kukamatwa...

Tuesday, 29 October 2013

WAKI DADA WAPIGANA BARABANI WAKI GOMBANIA BWANA

Angalia picha hii wakidada  wazichapa kavkavu barabarani kwa kisa cha mwanaume chezea mapenzee wewe hatari Wadada wawili Warembo wa Mitaa ya kawe waliamua kuzichapa kavu kavu bila maglovsi mbele za watu kwa eti mmoja akimtuhumu mwenzie kuwa anatoka na Boyfriend wake...Inasemekana...

MGANGA AKUTWA NA KIGANJA CHA BINADAMU AKIMUUZIA MTEJA WAKE

KWA MILIONI 100 JIJINI MWANZA MAJANGA YA  MWAKA Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100. Washukiwa walikamatwa  jana  karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza  wakifanya  biashara...

REAL MADRID YAMTAKA SEPP BLATTER AOMBE RADHI KAULI YAKE JUU YA RONALDO

>>YAMSHAMBULIA KWA KUMVUNJIA HESHIMA RONALDO!! KOCHA wa Real Madrid Carlo Ancelotti ameyaelezea matamshi ya Rais wa FIFA Sepp Blatter kuwa ni ya kuonyesha kutomheshimu Mchezaji wao Cristiano Ronaldo na pia alitoboa kuwa Klabu yao imemtaka Blatter afute kauli yake. Real...

YANGA, MBEYA CITY ZA SHINDA MECHI ZA LEO ZAZISHUSHA SIMBA CHINI NAFASI YA 4!

  Tuesday, 29 October 2013 19:00 MATOKEO: Jumanne Oktoba 29 Tanzania Prisons 0 Mbeya City 2 Yanga 3 Mgambo Shooting 0 Rhino Rangers 1 JKT Ruvu 0 USHINDI kwa Mabingwa Watetezi Yanga na Mbeya City katika Mechi zao za leo umeishusha Simba hadi Nafasi...

L ANGALIA JINSI LADY GAGA ALIVYO TUMBUIZA AKIWA UCHI WA MNYAMA MBELE ZA WATU.

Lady Gaga anasifika kwa vituko vya mara kwa mara vinavyomfanya awe controversial sana, and this time around ameamua kufanya onesho akiwa uchi wa mnyama!..ndio nimesema uchi wa mnyama katika show ya G-A-Y huko London, Uingereza Ijumaa iliyopita. Gaga (27) alipanda jukwaani...

RAY C ,AMTWANGA DADA NORA WA BONGO MOVIE

  Na Musa MatejaKATIKA hali ya kushangaza, siku chache baada ya kuripotiwa kupona na kuacha matumizi ya madawa ya kulevya, mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’ anadaiwa kugeuka mwanamasumbwi na kumpa kipigo mwigizaji Nuru Nassoro ‘Nora’, Ijumaa Wikienda limenye...