>> PAMBANO LA SIMBA, AZAM LAINGIZA MIL 64/-
PATA ZAIDI:
Release No. 186
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Oktoba 29, 2013
PAMBANO LA SIMBA, AZAM LAINGIZA MIL 64/-
Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya
Simba na Azam lililochezwa jana (Oktoba 28 mwaka huu)...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Wednesday, 30 October 2013
WANAFUNZI WA UDOM SKULI YA TIBA WAJAFUNGUA CHUO NA HAJUI NILI WATAFUNGUA ?
Nukuu ya kilichoandikwa:
Wanafunzi
wa UDom College of Health Sciences, School of Medicine ambao wako
clinical years (mwaka wa nne na mwaka wa tano) hawajafungua chuo bado na
hawajui ni lini watafungua.Hata hivyo wanafunzi wanalalamika kua hata upatikanaji wa waalimu imekua ni shida hivyo kufanya mafunzo yao kwa
vitendo kua magumu sana
hasa...
MTOTO ALIYEBAKWA NA BABA YAKE AOMBA ASAIDIWE APATE HAKI YAKE
Mtoto
aliyefanyiwa ukatili kwa kubakwa na kulawitiwa na baba yake mzazi huko
kijijini Kiria katika kata ya Mamba Kusini wilaya ya Moshi Vijijini
ameomba msaada wa wanaharakati, wanasheria na taasisi huska ili apatiwe
haki yake.Mtoto huyo ambaye kwa sasa analelewa na msamaria mwema, amesema kamwe hatakaa asahau mateso aliyoyapata na
angependa
...
ANGALIA UHALIBIFU ULIFANYWA NA MASHABIKI SOKA WA MBEYA CITY
Picha
zilizopachikwa hapo juu zinaonesha uharibifu
ulioripotiwa kufanywa na washabiki wa timu ya soka ya Mbeya City punde
tu baada ya kumalizika kwa mchezo baina ya timu hiyo na ile ya Prisons
(ya Mbeya pia) wa ligi kuu ya...
HII NDIYO RIPORT :YA MAHAKAMA YA RUFAA ILIVYO SIKILIZA MAOMBI YA "BABU SEYA" NA "PAPI KOCHA"
Nguza
Vicking 'Babu Seya' akiwa na mwanawe Johnson Nguza 'Papii Kocha'
wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa baada
ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza maombi yao ya
kuitaka mahakama hiyo kupitia hukumu iliyoitoa mwaka 2010....
RAIA WA CONGO DRC WAKIMBILIA NCHINI UGANDA
Wakimbizi wa DRC wengi wana kimbilia usalama wao nchini Uganda
Melfu ya wakimbizi nchini
Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wameingia nchini Uganda, huku majeshi
ya serikali ya DRC yakipambana vikali na waasi wa M23.
Makabiliano makali kati...
TANZANIA YASEMA INAWEZA KUJITOA KATIKA UMOJA WA AFRIKA MASHARIKI
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete
Serikali ya Tanzania imesema
inatafakari ushiriki wake ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na
inaweza kujitoa ndani ya Jumuiya hiyo iwapo itaendelea kutengwa katika
baadhi ya vikao.
Aidha imesema Tanzania haitambui vikao
vinavyofanywa...
POLE SANA JUMA KASEJA KWA MAJANGA.

Aliyekuwa
Kipa Namba moja na Nahodha wa Kikosi cha Taifa Stars Juma Kaseja
amepata majanga mengine baada ya Kuachwa na Taifa Stars baada ya KochaKim Poulsen kutangaza Kikosi cha Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars)huku Juma Kaseja akiwa hayupo katika Orodha ya Taifa Stars...
WASANII WA BONGO MOVIE WAPONDWA KUJIPODOA MISIBANI

Msanii katika Kiwanda cha Filamu Nchini Tanzania Baturi amefunguka na kutoa ya moyoni kwa Wasanii na Raia wengine ambao kazi yao ni kujiremba na
kujipodoa
Pindi waendapo katika Misaba,kwani amefananisha hali hiyo ni sawa na
Kwenda kuuza Sura wakati wenzako wapo katika...
HII NDIO ADHABU WALIOPEWA WANAJESHI WALIO IBA VITU WESTGATE WAKATI WANAPAMBANA NA MAGAIDI.

Wanajeshi
wawili nchini Kenya wamefutwa kazi na kufungwa jela kwa kitendo cha
kupora mali wakati wa shambulizi la kigaidi kwenye Jengo la Westgate
mwezi jana. Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi la Kenya, Julius Karangi.
Karangi amesema kuwa mwanajeshi wa tatu...
MWANAFUNZI ALIYE BAKWA NA KUPATA MIMBA AOMBA KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE
Vitendo
vya ubakaji vimeendelea kuumiza akili za wapigania haki na ustawi wa
wanawake nchini Tanzania kwa muda mrefu sasa. Miongoni mwa kesi hizi
zimehusisha wasichana wadogo wenye malengo makubwa katika maisha yao,
lakini kutokana na mfumo...
MTUHUMIWA SUGU AKAMATWA NA SIRAHA ZA KIVITA 45 ZA KIENYEJI 17 NA RISASI 892
Kamanda
wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu Salum Msangi amesema operesheni
maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu ya kukabiliana na vitendo vya
ujambazi, ujangili wa uwindaji haramu pamoja na wahamiaji haramu
imefanikisha kukamatwa...
Tuesday, 29 October 2013
WAKI DADA WAPIGANA BARABANI WAKI GOMBANIA BWANA

Angalia picha hii wakidada wazichapa kavkavu barabarani kwa kisa cha mwanaume chezea mapenzee wewe hatari
Wadada wawili Warembo wa Mitaa ya kawe waliamua kuzichapa kavu kavu bila maglovsi mbele za watu kwa
eti mmoja akimtuhumu mwenzie kuwa anatoka na Boyfriend
wake...Inasemekana...
MGANGA AKUTWA NA KIGANJA CHA BINADAMU AKIMUUZIA MTEJA WAKE

KWA MILIONI 100 JIJINI MWANZA MAJANGA YA MWAKA
Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100.
Washukiwa walikamatwa jana karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza wakifanya biashara...
REAL MADRID YAMTAKA SEPP BLATTER AOMBE RADHI KAULI YAKE JUU YA RONALDO
>>YAMSHAMBULIA KWA KUMVUNJIA HESHIMA RONALDO!!
KOCHA
wa Real Madrid Carlo Ancelotti ameyaelezea matamshi ya Rais wa FIFA
Sepp Blatter kuwa ni ya kuonyesha kutomheshimu Mchezaji wao Cristiano
Ronaldo na pia alitoboa kuwa Klabu yao imemtaka Blatter afute kauli
yake.
Real...
YANGA, MBEYA CITY ZA SHINDA MECHI ZA LEO ZAZISHUSHA SIMBA CHINI NAFASI YA 4!
Tuesday, 29 October 2013 19:00
MATOKEO:
Jumanne Oktoba 29
Tanzania Prisons 0 Mbeya City 2
Yanga 3 Mgambo Shooting 0
Rhino Rangers 1 JKT Ruvu 0
USHINDI
kwa Mabingwa Watetezi Yanga na Mbeya City katika Mechi zao za leo
umeishusha Simba hadi Nafasi...
L ANGALIA JINSI LADY GAGA ALIVYO TUMBUIZA AKIWA UCHI WA MNYAMA MBELE ZA WATU.

Lady
Gaga anasifika kwa vituko vya mara kwa mara vinavyomfanya awe
controversial sana, and this time around ameamua kufanya onesho akiwa
uchi wa mnyama!..ndio nimesema uchi wa mnyama katika show ya G-A-Y huko
London, Uingereza Ijumaa iliyopita.
Gaga
(27) alipanda jukwaani...
RAY C ,AMTWANGA DADA NORA WA BONGO MOVIE

Na Musa MatejaKATIKA
hali ya kushangaza, siku chache baada ya kuripotiwa kupona na kuacha
matumizi ya madawa ya kulevya, mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’
anadaiwa kugeuka mwanamasumbwi na kumpa kipigo mwigizaji Nuru Nassoro
‘Nora’, Ijumaa Wikienda limenye...