Obama apinga ubadilishaji wa maumbile
Mwanamume aliyejibadilisha maumbile na kuwa mwanamke
Rais Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha maumbile yao linafaa kukoma mara moja.
Wengi wa wanaotaka kufanyia mabadiliko ya maumbile...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Thursday, 9 April 2015
Wednesday, 1 April 2015
MWANDOSYA AOMBWA KUGOMBEA URAISI NA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYUO VIKUU MBEYA.
Mwenyekiti
wa Shirikisho la Vyuo vikuu Mkoa wa Mbeya(CCM),Raymond Mweli
akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakikanusha kuhusu
wenzao kutumia jina la shirikisho hilo kumshawishi Mwandosya kugombea
urais
Katibu
...
TGNP YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
Mtafiti
wa maswala ya kijamii kutoka Mtandaowa jinsia Tanzania(TGNP), Dinah
Nkya,akitoa mada katika semina ya waandishi wa habari kutoka Kanda ya
Nyanda za juu kusini.
Afisa uhusiano wa TGNP, Melkizedeck Karol akiendesha mafunzo ya siku mbili...
WACHEZAJI SIMBA KUZAWADIWA GARI, MAMILIONI TASLIMU
Kampuni ya EAG Group Limited, imeingia mkataba wa miaka mitano na klabu
Simba kwa ajili ya kuitafutia mipango thabiti ya kuiendesha timu hiyo
kuhakikisha inapiga hatua katika maendeleo yake.
EAG Group iliingia mkataba na timu hiyo leo asubuhi kwenye hoteli ya
Southern...
Andrey Countinho aanza mazoezi Yanga.
Mbrazil
wa Yanga, Andrey Countinho ameanza mazoezi mepesi na timu yake katika
kile kinachoonekana kuimarika kwa hali yake ya goti.
Countinho
aliumia wiki kadhaa zilizopita na...
Palestina yapewa uanachama wa ICC
Mahakama ya uhalifu wa kivita ICC
Wapalestina wamepata uanachama wa mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita miezi mitatu baada ya ombi lao kukubaliwa.
Waziri
...
Rais wa Shirikisho la Soka Kenya achafuka kwa rushwa
Rais wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Sam Nyamweya,
amechafuka kutokana na jina lake kuwamo kwenye orodha ya watu
wanaojihusisha na rushwa nchini humo iliyotolewa leo na Baraza la
Maadili na Kuzuia Rushwa (EACC) akihusishwa...
Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki
Mtu aliyekuwa na umri mkubwa duniani kutoka nchini Japan amefariki wiki kadhaa baada ya kusherehekea miaka 117 tangu azaliwe.
Misao Okawa alifariki katika kituo cha uangalizi mjini Osaka,mji ambao alizaliwa mwaka wa 1898.
Okawa amewaacha vitukuu sita na...
AU yapongeza uchaguzi Nigeria bila furugu yeyote
Mkuu wa Umoja wa Afrika Nkosana Dlamini Zuma
Mkuu
wa umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa
Muhammadu Buhari kama rais mpya wa Nigeria unaonyesha ukuwaji wa
demokrasi nchini Nigeria.
Rais anayeondoka...