MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Thursday, 9 April 2015

Angalia mwanaume aliyejibailisha kuwa mwanamke swala lililipingwa vikali na rais OBAMA

Obama apinga ubadilishaji wa maumbile Mwanamume aliyejibadilisha maumbile na kuwa mwanamke   Rais Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha maumbile yao linafaa kukoma mara moja. Wengi wa wanaotaka kufanyia mabadiliko ya maumbile...

Wednesday, 1 April 2015

MWANDOSYA AOMBWA KUGOMBEA URAISI NA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYUO VIKUU MBEYA.

 Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo vikuu Mkoa wa Mbeya(CCM),Raymond Mweli akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakikanusha kuhusu wenzao kutumia jina la shirikisho hilo kumshawishi Mwandosya kugombea urais  Katibu ...

TGNP YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI

 Mtafiti wa maswala ya kijamii kutoka Mtandaowa jinsia Tanzania(TGNP), Dinah Nkya,akitoa mada katika semina ya waandishi wa habari kutoka Kanda ya Nyanda za juu kusini.  Afisa uhusiano wa TGNP, Melkizedeck Karol akiendesha mafunzo ya siku mbili...

WACHEZAJI SIMBA KUZAWADIWA GARI, MAMILIONI TASLIMU

Kampuni ya EAG Group Limited, imeingia mkataba wa miaka mitano na klabu Simba kwa ajili ya kuitafutia mipango thabiti ya kuiendesha timu hiyo kuhakikisha inapiga hatua katika maendeleo yake. EAG Group iliingia mkataba na timu hiyo leo asubuhi kwenye hoteli ya Southern...

Andrey Countinho aanza mazoezi Yanga.

Mbrazil wa Yanga, Andrey Countinho ameanza mazoezi mepesi na timu yake katika kile kinachoonekana kuimarika kwa hali yake ya goti. Countinho aliumia wiki kadhaa zilizopita na...

Palestina yapewa uanachama wa ICC

Mahakama ya uhalifu wa kivita ICC Wapalestina wamepata uanachama wa mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita miezi mitatu baada ya ombi lao kukubaliwa. Waziri ...

Rais wa Shirikisho la Soka Kenya achafuka kwa rushwa

Rais wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Sam Nyamweya, amechafuka kutokana na jina lake kuwamo kwenye orodha ya watu wanaojihusisha na rushwa nchini humo iliyotolewa leo na Baraza la Maadili na Kuzuia Rushwa (EACC) akihusishwa...

Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki

  Mtu aliyekuwa na umri mkubwa duniani kutoka nchini Japan amefariki wiki kadhaa baada ya kusherehekea miaka 117 tangu azaliwe. Misao Okawa alifariki katika kituo cha uangalizi mjini Osaka,mji ambao alizaliwa mwaka wa 1898. Okawa amewaacha vitukuu sita na...

AU yapongeza uchaguzi Nigeria bila furugu yeyote

Mkuu wa Umoja wa Afrika Nkosana Dlamini Zuma Mkuu wa umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa Muhammadu Buhari kama rais mpya wa Nigeria unaonyesha ukuwaji wa demokrasi nchini Nigeria. Rais anayeondoka...