KIKUNDI Maarufu cha wanachama walioasi wa klabu ya Simba,
Simba Ukawa, jana kilikuja na matunguli katika uwanja wa Jamhuri Mkoani
Morogoro, Mnyama akishinda mabao 2-0 na hali hiyo ilisababisha Simba
wenyewe kwa wenyewe wapigane wakipinga imani hizo za kishirikiana

0 comments:
Post a Comment