MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Tuesday, 17 February 2015

ANGALIA SIMBA UKAWA WALIYOKAMATWA MATUNGULI MOROGORO

  KIKUNDI Maarufu cha wanachama walioasi wa klabu ya Simba, Simba Ukawa, jana kilikuja na matunguli katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro, Mnyama akishinda mabao 2-0 na hali hiyo ilisababisha Simba wenyewe kwa wenyewe wapigane wakipinga imani hizo za kishirikiana    ...

Kufunguliwa kwa nchini liberia wasogezwa mbele kuhofia ugonjwa wa Ebola kusambaa zaidi

  Waziri wa elimu Liberia, Etmonia Tarpeh ametangaza  kufunguliwa kwa Shule zilizokuwa zimefungwa kwa zaidi ya miezi sita nchini humo kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Ufunguzi huo ulipangwa kufanyika February 2, lakini...

Wasichana wengi nchini Malawi wa olewa chini ya umri miaka 18

    Malawi ni moja ya nchi ambazo zina tatizo kubwa la ishu ya ndoa za utotoni, tafiti zinaonyesha karibu nusu ya wasichana wa nchi hiyo wameolewa wakiwa hawajatimiza miaka 18. Kutokana na kuendelea kwa tatizo hilo la ndoa za utotoni, Malawi wamepitisha...

Sunday, 8 February 2015

Aathirika kwa kupenda sana kutumia Internet,

  Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Instagram ni kitu ambacho kimeshika chati sana kwa sasa duniani, vijana wameonekana kuwa waathirika wakubwa wa matumizi ya mitandao hi...

MRISHO NGASSA AIPANDISHA YANGA KILELENI, ‘AIUA’ MTIBWA!!

 Mrisho Ngassa, Leo hii ndani ya Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam alifunga Bao 2 na kuipa ushindi Yanga wa Bao 2-0 walipoilaza Mtibwa Sugar kwenye Mec hi pekee ya Ligi Kuu Vodac...

Saturday, 7 February 2015

VPL: LEO SAREZA TAWALA MICHEZO 5 AZAM FC WARUDI KILELENI!!

    Polisi Moro 2 Azam FC 2              Coastal Union 0 Simba 0 Prisons 1 Ruvu Shootings 1                   JKT...

Arsenal yafungwa na Tottenham kwenye EPL.Angalia matkeo ya mechi zingine hapa

   Tottenham Hotspurs wamefanikiwa kuwafunga Arsenal katika mchezo wa ligi kuu ya England uliopigwa hii leo (Jumamosi) kwenye uwanja wa White Hart Lane ukiwa mchezo wa kwanza wa ligi hiyo kwa ratiba ya jumamosi...

Real Madrid yanyeshewa mvua ya mabao ya kutoka kwa Atletico

   Baada ya kushindwa kupata ushindi katika mechi 5 mfululizo dhidi ya wapinzani wao wa jadi kabisa – Real Madrid leo walivuka kutoka upande mmoja wa mji wa Madrid na kwenda mpaka katika dimba la Vicente Carlderon pembezoni mwa jiji la Madrid kucheza dhidi ya Atletico...