Kikosi cha timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) leo kinashuka uwanjani nchini Nigeria kuivaa Nigeria (Flying Eagles) katika mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika.
![]() |
Kikosi cha Ngorongoro kilichofungwa 2-0 katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam |
Na Boniface Wambura, DAR ES SALAAM
No comments:
Post a Comment