MABAO saba yametinga nyavuni katika mechi za ufunguzi za michuano ya mipya ya klabu ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) iitwayo Nile Basin jana nchini Sudan. Victoria University ya Uganda imeilaza 1-0 Malakia ya Sudan Kusini, wenyehi Al-Merreikh wameichapa 3-0 Polisi ya Zanzibar na wenyeji wengine, Al-Shandi wameilaza 2-1 Dkhill ya Djibouti.
![]() |
Mbeya City wanaanza kazi leo Sudan |
Na Rodgers Mulindwa, KHARTOUM
No comments:
Post a Comment