Thursday, 20 February 2014

DK SHEIN AZUNGUMZA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UHOLANZI

  

TA1A4343
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Waziri wa Biashara za Nje wa Uholanzi Bibi Lilianne Ploumen,(katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi,Makatibu na Ujumbe wa Wawekezaji kutoka Uholanzi baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha  na Ramadhan Othman,Ikulu.]

0 comments: